Kuelekea fainali ya UEFA mjini Kiev msimu wa 2017/2018 Liverpool wakichukua ubingwa sitashangaa wala kuona ajabu

Kuelekea fainali ya UEFA mjini Kiev msimu wa 2017/2018 Liverpool wakichukua ubingwa sitashangaa wala kuona ajabu

Ni bora Man city apite coz ana uzoefu na ucl. Huyo liverpool wenu mtaniambia. Ngoja akutane na Mfalme wa soka kuwahi kutokea ndio mtajuwa nini maana ya uefa.


City ana uzoefu 😀 😀 😀 😀

Hebu tuambie Uzoefu Gani Alionao Wakati ni ROBOFAINALIST Wa Kudumu ambaye Katika Historia Yake Hajawahi Kuinusa Hata Nusu Fainali?
 
Back
Top Bottom