Kuelekea game na Wydad: Wajibu wa benchi la ufundi kwa Onyango!

nakubaliana na mleta mada, Onyango ni bonge la beki na amekua akisaidia sana Simba, pia akuna mbadala wa Onyango pale Simba ukiacha pacha wake Inonga.
 
Huna kipya Cha kufanya Kwa mda huu we subiria Mungu nisaidie
 
Ingekuwa Yanga hashiriki kwenye Kombe la Shirikisho Simba wangemwazima Ibrahim Bacca wa Yanga jamaa hana maskhara, kama mwaka 1998 Yanga walivyowatumia Wachezaji Monja Liseki na Alphonce Modest wa Simba.
Sheria za enzi za giza ๐Ÿคฃ
 
Simba hana uwezo wa kuwatoa Wydad huyo Onyango acheze au asicheze, watafute tu namna ya kuunda timu upya baada ya kumaliza mechi za robo fainali. No way out.
 
Wydad Casablanca ni kaka yake Raja Casablanca
Ebu jaribu kuwaza kitakachotupata. Ikiwa mdogo mtu katupiga ndani nje, je, kaka yake si itakuwa balaa! Tujiandae tu kisaikolojia kuwa kwa hapa Simba watakuwa wameumaliza mwendo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ