Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

Umeshachangia lile bakuli la mchango? Maana style yenu ni ya pekee!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, sisi tunachanga wengi lakini nyie mnachangiwa na mtu mmoja so far. Msubiri hadi muanze kuendesha club kwa hela za club sio za Mo, ndiyo mpate haki ya kutucheka.
For the time being, Yanga iko more sustainable. Mo akiondoka ghafla mtapata gharika.
 
Tatizo lenu simba nikwamba mkiambiwa ukweli mnamalizia machungu kuikosoa yanga.Mmesajili wachezaj wengi lakin bado mnapigwa 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo style ya kusubiri matokeo ndipo ushangilie hakuna duniani kote.

Na mawazo yenu kama hayo yangesikilizwa basi hata makundi Simba isingefika.

Nakukumbusha tu Simba imewahi kufika nusu fainali Klabu bingwa Afrika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu ikachukua kombe au?

ukisikia mediocrity ndiyo hii sasa..
 
Dah. Si nilisikia hii mechi itakuwa saa 8 sasa inakuaje tena saa 10.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu simba nikwamba mkiambiwa ukweli mnamalizia machungu kuikosoa yanga.Mmesajili wachezaj wengi lakin bado mnapigwa 5

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema wachezaji wengi unamaanisha nini? Inamaana Simba imesajili kinyume na taratibu za soka je wako 50

Kama unaweza jibu swali nililomuuliza huyo mwenzako kama unaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jumapili sidhani kama mtakuwa hewani humu.
 
Mkuu..Ile ni Kampuni tayari kwahivyo ni kiasi cha kutangaza zabuni wakajitokeza.

Simba ilipitia kipindi kigumu wakati ninyi mpo na Manji lakini haikufikia kama Yanga, mchango mpaka uwanjani..!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo nimekufahamisha hatua kubwa kuliko hiyo Yanga yako..

Na kama ilifikia hivyo Simba inaelekea kuchukua hata kwa miaka mitano mbeleni au zaidi kutokana na dhamira iliyowekwa.

Hakuna timu inayosema leo naenda kufungwa
halafu ikachukua kombe au?

ukisikia mediocrity ndiyo hii sasa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…