Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, AS Vita Club dhidi ya Simba SC, Injinia Ngapi?

Simba imewafanya wabadili uraia kila kukicha juzi walikuwa waarabu leo wakongo.
Inawezekana kweli simba ni wazuri ila nimekuja kugundua ili kundi ni gumu sana waweza shangaa anapita simba na j saura maana jana kwao wameupiga mkubwa uwezi fikili niwale waliofungwa tatu pale taifa ila ngoja tuone mechi ya leo pengine itatufungua macho tulio wengi.
 
Kilichowafungisha taifa ni hali ya hewa, na hata Al ahly nao kuna asilimia kubwa ya kushindwa kupata matokeo Taifa, sababu ni hali ya hewa. Laiti kama mechi ingechezwa usiku sidhani kama Simba ingeweza kumgalagaza timu ya Saoura namna ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale mliosema simba ilimfunga kibonde (al soura) mko wap? naona sasa mmeanza kuwasifia kuwa ni wazur[emoji23][emoji23][emoji23] gongo wazi bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Gongowazi leo wako DRC, wana tabia ya kuhama hama timu..Na kwa namna yao hiyo ipo siku watajikuta wanaishangilia Simba SC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya leo yatatupatia mwanga mzuri kwenye kundi letu... Na dua zangu ni hawa waarabu watoe sale (wametoa)
Al ahly labda kwao ila hapa bongo anadondosha point.
Simba nguvu 1
 
Wale waarabu wa pale taifa bila shaka na leo watakuwa wakongomani, vyura wana pata shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…