Kuelekea Jumapili:Kumbukumbu yangu ya Simba SC vs Nkana FC mwaka 1994.

Watu wengi wa yanga sio watu wa mpira wao wanatambulika kwa jina la "Yanga yangu" yani wao ni Yanga tuu...ila mashabiki wengi wa mnyama tunapenda mpira misimu minne hatujatwaa ubingwa ila mechi zenu zinajaa na wakija wageni tunaenda kuangalia burudani,hi ndo tofauti ya Mnyama na wale wa matopeni
 
Ujui kua mashabiki wa Yanga ni wachache kuliko wa simba, ni lini mashabiki wa Yanga mliweza kuujaza uwanja kwenye mechi yenu?
Pili angalia kwenye mechi za simba na Yanga ni mashabiki gani wqnakua wengi
Upo seriously kabisa?basi Taifa umeanza kwenda mwaka huu
 
Narudia kukwambia tena,umeanza kwenda Taifa baada ya Mikia kuchukua Ubingwa msimu uliopita.
 
Tatizo wachezaji wanao cheza Tanzania wanaridhika haraka sana
 
Naomba chura mmoja aje abishane na kile nilichokisema kwenye hii thread niliyopost siku 3 zilizopita.Nasisitiza:NKANA HAJAWAHI KUTOKA SALAMA KWENYE DUNGEON YA SIMBA!!☝

Mnyamaaaaaaaaa...👹👹👹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…