magagafu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,196
- 1,309
Watu wengi wa yanga sio watu wa mpira wao wanatambulika kwa jina la "Yanga yangu" yani wao ni Yanga tuu...ila mashabiki wengi wa mnyama tunapenda mpira misimu minne hatujatwaa ubingwa ila mechi zenu zinajaa na wakija wageni tunaenda kuangalia burudani,hi ndo tofauti ya Mnyama na wale wa matopeni"Brother's from the desert" hapo umejikwaa...mara ngapi mlijazana Taifa kushangilia wageni??? mechi ya TP Mazembe Manji aliondoa viingilio cha ajabu Mikia walijazana toka asubuhi..angalia mechi zenu watu wa Yanga hawana tabia ya kujazana uwanjani kushangilia labda "wakuja" wachache...The citizen