Kuelekea Kariakoo Derby nawashauri Simba watafute mganga mapema au wahonge walinzi mapema

Kuelekea Kariakoo Derby nawashauri Simba watafute mganga mapema au wahonge walinzi mapema

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Raundi ya kwanza timu ya YANGA iliibuka na ushindi mnono dhidi ya SIMBA kuna mwamba mropokaji hapa jukwaani akasema Yanga iliroga na kuhonga walinzi pia walimwaga dawa vyumba vya kubadilishia nguo,nataka kushauri uongozi wa SIMBA mapema kabla matokeo kwamba wafanyie kazi hay Kama mpira Uchawi waanze mapema kuroga na hata kuwalipa walinzi ili waweze kuwafunga YANGA kama wanavyojinadi.

Bila kusahau kusimamisha na kutuhumu wachezaji wenu.


LITAKUFA JITU.
 
Acha Upumbavu na kulisikilisa lile Juha La Jamii Forum

Haya Yanayo tokea simba leo tulishauri tangu mwaka 2019.

Viongozi wa simba wanahaha na Majuto, tulisha waonya Yote.

MWAMEDI HATAKI KUTOA HELA ZA USAJILI WANASAJILI MAGALA YA AKINA

Dunkan Nyoni, SAWADOGO,Chikwende na Upimbavu wao mwingi.



2.MATATIZO YA SIMBA NI KUANZIA

1. UWEKEZAJI.
2. UONGOZI.
3. WACHEZAJI.
 
Wacha wafungwe.
Vingozi waongezwe mishahala.
Hiyo ni ofisi ya watu.
 
Mimi nawaombea tu waingie tena kwenye ule mfumo wa Yanga wa 5G. Na uzuri mpaka hiyo tarehe 20, wachezaji wote muhimu huenda wakawa fit kwa mchezo.
 
Back
Top Bottom