Hatareeeetimu ya Zaire walipeleka waganga ili wabebe World cup wakapigwa chale na hirizi zao zikiwa mwilini.
Mobutu Seseko Kingwendu Wazabanga.π π
Bora hata Yanga! Simba ndiyo balaa. Huwa hawaoni aibu kufanya vitendo vya kishirikina, hadharani.Kuna team inaroga bongo kushinda yanga.