Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #21
Kwangu nimewaza Simba wameanza kuwachosha AS Vita kwa kidude kimoja ambacho wamehangaika nacho bila mafanikio hadi HT; kisha kipindi cha pili wakapoteana As Vita kabisaMimi nimeota Simba kapigwa moja,baadae Simba wakarudisha mechi ikaisha draw ya moja moja.