Kuelekea Kumaliza Mwaka 2016: Wasanii Watatu Waliotamba Mwaka Huu

Mwaka wa 2016 ulikuwa wa
1.Ali Kiba -Aje (Wimbo bora wa mwaka)
2.Darassa -Msanii bora wa HipHop
3.Ben Paul -Mwanamuziki bora wa R&B...Moyo mashine ni habari nyingine.
Wengine walikuwa wasindikizaji.
 
Akija mwingine hajamuweka dai niambie Niko huku nyuma
 
Mwaka wa 2016 ulikuwa wa
1.Ali Kiba -Aje (Wimbo bora wa mwaka)
2.Darassa -Msanii bora wa HipHop
3.Ben Paul -Mwanamuziki bora wa R&B...Moyo mashine ni habari nyingine.
Wengine walikuwa wasindikizaji.
Unamuachaje namba moja mond?
Kidogo
salome
make me sing collabo ya mwaka

samahani lakini
 
ha ha ha haa......... Kazi mnayo.
 
Dogo Janja nae kajitahidi sana japo siwezi kumuweka kwenye 3 bora. Ngoma zake za
I'm living my life na Kidebe
 
[HASHTAG]#diamond[/HASHTAG]
[HASHTAG]#darasa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#ommy[/HASHTAG] dimpoz/janjajanja/kiki
 
Pesa madafu-jmoe
Siwezi-baraka de Prince
Mboga7-kabaysa
Waoane-chege
Too much-darassa
Chafpoz-billnass
Salome-ray&mind
Natafuta kiki-raymond
Hainaga usgemeji-manf
Sweet mangi-nikki
Arosto-g nako
Original-g nako
Lover boy-barnaba
Shika adabu yako-nay
Dume suruali-fa
Ntakupigia-stamina
JumlishA zooote unapata muziki ya DARASSA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…