Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Hivi ile aje yule jamaa alifanya naye remix ni wa wapi ?Mwaka wa 2016 ulikuwa wa
1.Ali Kiba -Aje (Wimbo bora wa mwaka)
2.Darassa -Msanii bora wa HipHop
3.Ben Paul -Mwanamuziki bora wa R&B...Moyo mashine ni habari nyingine.
Wengine walikuwa wasindikizaji.
Young MA _ ooouuuYoung MA
Dae Dae
Kuna vichwa vingine huwa havina mpinzani ,unakubali tu anayekuja anajitahidi ila hawezi kuwa mpinzani aiseeYoung MA _ ooouuu
mpinzani mtarajiwa wa nick minaj
Yule ni M.I wa Nigeria..Hivi ile aje yule jamaa alifanya naye remix ni wa wapi ?
Kuna ile sehemu anasema
Sijui nini nini you can teach me swahili ....
Like sawa sawa mambo vipi ...
Nimependa tu colabo yao
Teh teh asante Th Bold ..vitu vingine hata hutakiwi kuuliza , hata kuongea tu ni kwa wingi sijui kama ume notice ,Utasikia Nifah anakuambia Tuna kushukuru ,sio nina kushukuruYule ni M.I wa Nigeria..
Sorry lakini maana haukuniuliza mimi [emoji23]
Teh teh asante Th Bold ..vitu vingine hata hutakiwi kuuliza , hata kuongea tu ni kwa wingi sijui kama ume notice ,Utasikia Nifah anakuambia Tuna kushukuru ,sio nina kushukuru
Au ukimuuliza Nifah unafanya nini utasikia tumelala dah
Hivyo wewe ukinijubu ni sawa na Nifah tu [emoji38]
1.Darassa-Kama UtanipendaNamba Moja - darasa
Namba Mbili-Darasa
Namba tatu -DARASA
Ahsante Swahiba kwa orodha maridhawa.Mwaka wa 2016 ulikuwa wa
1.Ali Kiba -Aje (Wimbo bora wa mwaka)
2.Darassa -Msanii bora wa HipHop
3.Ben Paul -Mwanamuziki bora wa R&B...Moyo mashine ni habari nyingine.
Wengine walikuwa wasindikizaji.
Hizo zote hazikufanya vizuri, unazi tuweke kamdo wakuuUnamuachaje namba moja mond?
Kidogo
salome
make me sing collabo ya mwaka
samahani lakini
Ulizo chonganishi: Mussolin, hivi wasipokuwepo wasanii duniani kinaweza tokea nini? Kama hakuna madakitari kinaweza tokea nini?Kama kichwa cha uzi kinavyojipambanua, wasanii watatu waliotikisa mwaka huu 2016 unaoisha ni
1. Darassa
2. Ally Kiba
3. Chegge
Acha ubishi, tupe na wewe list yako ya Wasanii unaoona walitamba kwa kazi zao mwaka huu unaoisha.
Atleast kwenye top 5 yako anaweza akaingiaDogo Janja nae kajitahidi sana japo siwezi kumuweka kwenye 3 bora. Ngoma zake za
I'm living my life na Kidebe
saafi1.Darassa
Msanii bora wa Hip hop
Wimbo bora wa Hip hop Too Much
2.Ali Kiba
Wimbo bora Wa mwaka Aje
Msanii bora wa mwaka
3.Juma Jux
Msanii bora wa Rnb
Wimbo bora wa Rnb Wivu.
Maisha bila unafki hayaendi.1.Juma nature
2.Abby skills
3.Hammer q
Hawa mwaka huu wametamba mno na mwaka ulikuwa wao huu!!
[Uzi huu unatufaa sisi wanafki tu]
Ngoja waje wajuvi wa mambo watakujibu tuUlizo chonganishi: Mussolin, hivi wasipokuwepo wasanii duniani kinaweza tokea nini? Kama hakuna madakitari kinaweza tokea nini?
Basi aje ya kingkiba hapo vipi!Hizo zote hazikufanya vizuri, unazi tuweke kamdo wakuu