Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

Kuelekea kupanga mishahara upya; Mishahara ilingane kwa kada zote

mwalimu aliyepata div 3 au 4 akaungaunga na kupata degree alingane na pharmacist au ddaktari aliyepata div 1 six..kisa tu wote eti wana degree! ridiculous!
Hv wanaokwenda ualimu hawana div 1?
 
tatizo ninyi mkipata kamwanga kidogo mnajiona kama mnaelewa sana lakini ukimuona kilaza anaongea lazima aseme kuwa mwalimu ni mjinga ndio maana hata mnapotaka kuwapangia mshahara mnawapa kama last selection lakini kwa msomi mzuri anajua who is mwalimu na anamthamini mwalimu kama ngazi yake ya maisha kumbuka huyo daktari ni matokeo mazuri ya mwalimu. Vilaza wote wakijiona wameonja elimu ya chuo wanaanza kuvaa milegezo na kutukana mwalimu na kwa utafiti mzuri kalibia asilimia mia ya wanafunzi walioko vyuo kufaulu kwao waliibiwa mitihani na matokeo yanapotoka huishia kutukana walimu kumbe ni vilaza tu.
 
Habari wanandugu,

Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.

Kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani mmoja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.

Kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri

katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti.

By mkulima wa nyanya
Pia kuna haja ya kubadili mfumo wa salary increment ili mwenye kingi awe anaongezewa kidogo na mwenye kichache awe anaongezewa kingi. Tofauti na wakati huu
 
South Korea Mwalimu ndio mtu anaelipwa zaidi. na wanaosoma Kozi ya Ualimu ni wale waliofaulu zaidi...
 
Habari wanandugu,

Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.

Kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani mmoja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.

Kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri

katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti.

By mkulima wa nyanya
 
Nilipoona mlima nyanya ahh,roho ikasita kuchangia,sio mfanyakazi
 
Mmmhh!!!,hii mada wachangiaji wanahasira km nini cjui!!!,mambo ya maslahi acha kabisa.
 
Habari wanandugu,

Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.

Kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani mmoja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.

Kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri

katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti.

By mkulima wa nyanya
Usiwe bias ....kwanini umesema mtu ni yuleyule, then unaruka unasema eti walipe kwa kuangalia viwango vya elimu, kwani mwenye PhD akilipwa kama wa degree hawezi kuishi?
In short hilo unalolitaka haliwezekani na uache ubinafsi
 
kwa nini mkuu? harafu mi sijajiegemeza sana kwenye mishahara ya madaktari maana mishahara yao haitofautiani sana na ya walimu labda kwa wewe unayeisikiliza vijiweni
Kumb mshahara wa 720000- mwalimu degree ni sawa na 1400000-daktar degree??? we nd unaeskiliza mishahara kijiweni kumbe
 
Ulianza vzr! ila ulivyosema eti mwenye degree ya elimu alipwe sawa na degree ya afya ndo umeharibu.Hakuna nchi duniani inayotoa viwango sawa kwa style hiyo
 
South Korea Mwalimu ndio mtu anaelipwa zaidi. na wanaosoma Kozi ya Ualimu ni wale waliofaulu zaidi...

Hii system ianze na kwetu na graduates wake ndio waanze kulipwa hata 4M

Sio hawa walimu wa sasa
 
Af
Kuna tatizo gani hapo wakati huyo Mwalimu ndiye kamfundisha daktari na bado anaendelea kumfundishia watoto wake?Acha madharau bhana.
Afya ya mwalimu ilipotetereka, nani aliirekebisha? Tuwe na usawa wenye lengo la kuwepo na motisha kwa kila fani. Kila taaluma ni muhimu.
 
Back
Top Bottom