Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Nahisi wataanza keshoHivi serikali ya CCM lini imewahi kua na hekima kwa raia wake? Haya masihara sasa.
Serikali imeshindwa hata kutoa namba au labda namba zimewaishiaHuenda mzee wa kuvuna cheap popularity akafanye yake. Akaongeza muda wa usajili hadi watu wapate vitambulisho vya taifa.
Awamu hii imebobea kwenye kutengeneza matatizo na kujipatia sifa ya kuyatatua.
Haingii akillini kulazimisha usajili wa laini za simu wakati serikali hiyo hiyo imeshindwa kutoa vitambulisho ambavyo lazima viwepo kukamilisha usajili.
Msiojulikana ushapewa update za namna mambo yatakavyokwenda unajidai mtabiriUtawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Wazembe tu hao mwanzo tulikua wanatusumbua kwa SMS tukachukue vitambulisho vyetu Walio zarau Leo sasa ndio wanasumbua leoUna taarifa kuwa kuna watu walijiandikisha toka Zoezi linaanza kwa Mara ya kwanza kabisa lakini mpaka leo hawajapata namba wala kitambulisbo?
Sent using Jamii Forums mobile app
AhahahahahaaHakuna line itakayofungwa.
Wakifunga ntaenda kugonga geti la ikulu na jezi za chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa 4 usikuHivi tarehe 20-01-2020 inaanza kesho asubuhi au saa 6 usiku
Wakifunga lazima nchi itatikisika
Wamehangaika lini?W
Mimi sio mbinafsi kama wewe, wewe ukiandika jambo mtandaoni ujue linakuhusu.
Mimi nimewasemea watu, kitambulisho nilikipata miaka 2 kirahisi kazini kama mtumishi wa umma, lakini wananchi wengi wamehangaika bila mafanikio.
Huenda mzee wa kuvuna cheap popularity akafanye yake. Akaongeza muda wa usajili hadi watu wapate vitambulisho vya taifa.
Awamu hii imebobea kwenye kutengeneza matatizo na kujipatia sifa ya kuyatatua.
Haingii akillini kulazimisha usajili wa laini za simu wakati serikali hiyo hiyo imeshindwa kutoa vitambulisho ambavyo lazima viwepo kukamilisha usajili.