Akili 7
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 731
- 1,424
We ni mpumbavu kama wengine tu hivi unajuwa kuwa kuna watanzania kibao hawana namba hata ya nida,sasa watasajilia nini? ,matako? saa nyingine muwe mnatumia akili kuwaza na si makalio,pumbav.Mimi nashangaa watu kila kitu rais magufuli,lakini pia tambua kuwa usajili huu ni muhimu sana,wewe nenda kasajili laini yako ,rais aliongeza 20 days,kulia lia huku mitandaoni won't help any more,hutaki achakusajili,but serikali haita sitisha wala kuongeza muda,full stop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app