Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Heri ya mwaka mpya mtani..
Hivi juice ya miwa bado unayo? Kuna mikate ya azam hapa nataka kushushia nayo.
Na kwako pia Mtani. Mtani ndio nini sasa kunikumbusha maudhi mana najisahaulisha hapa. 😀

Vp na weye ushafanya usajili au ndio maneno ya mleta uzi yanakufanya utembee kifua mbele kama hakuna kinachofuata baada ya februari 20?
 
Na kwako pia Mtani. Mtani ndio nini sasa kunikumbusha maudhi mana najisahaulisha hapa. 😀

Vp na weye ushafanya usajili au ndio maneno ya mleta uzi yanakufanya utembee kifia mbere kama hakuna kinachofuata baada ya februari 20?
Nimeshajiandaa, now mtanipata kwa sanduku la barua😀😀
 
Hata kipindi kile cha kufunga simu feki wengi walidharau mwishowe wakaja kujikuta wanamiliki makopo.

Hivyo we jipe moyo tu mwisho wa siku inakula kwako.
Shadeeya hili mimi nakataa kwa kupiga kifua kabisa, natumia simu ina IMEI namba za kichina sijui kijapan zipo tatu ni kitochi tu na sijawahi kukaa nikatuma namba zangu TCRA na sitokaa niwatumie.
.
IMEI number zinatakiwa kuwa 111111111111 zisiwe 111111#&%45 huu ni mfano
 
Shadeeya hili mimi nakataa kwa kupiga kifua kabisa, natumia simu ina IMEI namba za kichina sijui kijapan zipo tatu ni kitochi tu na sijawahi kukaa nikatuma namba zangu TCRA na sitokaa niwatumie.
.
IMEI number zinatakiwa kuwa 111111111111 zisiwe 111111#&%45 huu ni mfano
Hivyo simu feki hazikufungwa au wataka kusema vipi Mtani?
 
Shadeeya hili mimi nakataa kwa kupiga kifua kabisa, natumia simu ina IMEI namba za kichina sijui kijapan zipo tatu ni kitochi tu na sijawahi kukaa nikatuma namba zangu TCRA na sitokaa niwatumie.
.
IMEI number zinatakiwa kuwa 111111111111 zisiwe 111111#&%45 huu ni mfano

Hebu soma hiyo Mtani.
 

Hebu soma hiyo Mtani.
Ni habari tu za kukiridhisha wewe na yule mtani.
TCRA wameanza kuneng'eneka way back ili kufanikisha kwanza tuko under their control na kuzuia matapeli na wezi wa mitandao.
.
Sasa katika kufanikisha majambo yao imekuwa ni usumbufu na vitisho kwa watu kwamba usipotuma IMEI namba yako kwenda 15300 sijui ngapingapi wewe utazimiwa simu (likaongezeka neno simu ikiwa feki ni bora ukajua mapema) sasa naona haka kampango kalifeli.
.
Huu wa NIDA ni mpyaa na huu umeshafeli mpaka sasa wahuni wameuwahi wana laizi zimekamilisha sajili kwa kutumia namba zenu
 
line zitakuwa zikizimwa kwa masaa 12 kila siku,kwa muda wa mwezi1

na pia zitakuwa hewani kwa muda wa SAA 12 kila siku kwa muda huo huo wa mwezi

*ili wananchi wote wasajili na kupunguza hasara ya miamala na vocha kwa wauzaji na watumiaji





N:B...ni kama ombi langu litapokelewa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi ulitabiri simu za kichina kufungwa? Vipi zilifungwa hazikufungwa? Je, ulitabiri kuzimwa kwa analog kupisha digital? Je analog ilizimwa haikuzimwa? Haya ndo mabadiliko yenyewe sasa hatuwezi kurudi nyuma, hatuwezi kuishi kizamani lazima mfumo ubadilike hata kama tumechelewa kufanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom