Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Watanzania “wazembe”wakati ID zinaandikishwa mlikuwa wapi?ID yangu imeanza mpaka kuchunika...walitakiwa watoto waliokuwa under 18 ndio wapatiwe sasa aarrgghhh
 
Hata kipindi kile cha kufunga simu feki wengi walidharau mwishowe wakaja kujikuta wanamiliki makopo.

Hivyo we jipe moyo tu mwisho wa siku inakula kwako.
Heri ya mwaka mpya mtani..
Hivi juice ya miwa bado unayo? Kuna mikate ya azam hapa nataka kushushia nayo.
 
Nimejiandikisha week mbili zilizo pita mpaka sasa sijapata No,hawa nida sitaki hata kuwasikia
 
Wafunge tu sina cha kupoteza..Simu yangu natumia kusikiliza muziki..kucheki muvi na kuingia jf tu
 
Hapa tatizo ni serekali haitaki kuongeza vituo vya uandikishaji vya nida , nahisi rais bado anabana matumizi hataki kuajiri watumishi wengi Wa nida
 
Back
Top Bottom