Kwani anayetafutwa kwenye huu usajili ni kigogo 2014, kuna kipindi watoto wote wa kiume waliuawa ili kumlenga mtu mmoja, Yesu au Musa, sasa kuna maandiko naanza kuyaelewaKwani Kigogo 2014 bado tu hajasajili line zake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anayetafutwa kwenye huu usajili ni kigogo 2014, kuna kipindi watoto wote wa kiume waliuawa ili kumlenga mtu mmoja, Yesu au Musa, sasa kuna maandiko naanza kuyaelewaKwani Kigogo 2014 bado tu hajasajili line zake?
Nani alikuambia Magufuli angekuwa Rais mzuri?Kwanza maisha ni magumu, halafu wewe unaongeza ugumu kwa kufunga laini za simu.
Wapiga kura wako, wengi wapo vijijini na hawajawahi kupata namba za NIDA. Octoba wanaenda kukuchinjia baharini (au una plan B ya kushinda?)
Unaenda kuvunja mahusiano ya watu, kuzuia miamala yote ya fedha na kujenga chuki kati yako na wananchi.
Ulitakiwa kuwawajibisha viongozi wa NIDA wala si wananchi. Nyota yako inazidi kufifia. Kwanini kila unachogusa kinafeli?
Je, mbona mnakomalia namba, tutaishia kupata namba tu bila vitambulisho?
Tarehe 20 ni usiku huu, lets wait and see if mzee wa font fed atafanya yake.
Wewe ni mpumbavu sana, huna akili kabisa, mamilioni ya watanzania ambao hawajapata usajili wa line zao kwa kukosa number za NIDA ni matapeli wote?Sisi tupo huku vijijini na tumesajili line zetu kwa namba za NIDA. Poleni sana wazee wa ' HIYO PESA TUMA KWENYE NAMBA HII' Tafuteni kazi zingine za kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema Mkuu, tatizo huyu MUHUNI kutokana na UBOVU WA KATIBA YETU ameiweka mihili yote MFUKONI.Tanzania tuna tatizo la kutokuwa na sera za taifa. huduma, elimu, uchumi afya na usalama zinatakiwa kuwa sera za taifa hata aje kichaa gani angebanwa na katiba na sheria lakini aya mambo ya kufata matakwa ya mtu mmoja ndio yanatughalimu kama nchi.
Unamwambia babu wa miaka 70 akajipange foleni nida kujaza form ya kusajili line seriously? mzee atoke kijijini kwenda wilayani kutafuta namba? unakuta mtu anatembea km 50 kwa baiskeli au kwa miguu nenda rudi nenda rudi bila mafanikio. huduma ni haki ya kila mtu kuwafungia watu line kwanza ni uvunjifu wa katiba.
Unaweza kukuta vurugu zote hizi anayewindwa ni kigogo 2014,wakati huyo kigogo 2014 alisajili line yake Kenya 2016 January kisha akarudi zake TanzaniaKwani Kigogo 2014 bado tu hajasajili line zake?
Kazi yako ni kumwabudu Magufuli na kumsifia tu, huna jingine kichwani hujasoma hata msingi wa Topic na kujua maudhui yakeMimi nashangaa watu kila kitu rais magufuli,lakini pia tambua kuwa usajili huu ni muhimu sana,wewe nenda kasajili laini yako ,rais aliongeza 20 days,kulia lia huku mitandaoni won't help any more,hutaki achakusajili,but serikali haita sitisha wala kuongeza muda,full stop.
Sent using Jamii Forums mobile app
wamejazana kwenye foleni kwa sababu hawakupata namba za NIDA uelewe logic, acha kukurupuka Kama malaya wa CCMBongo naijua mwenyewe
~kusajili laini ni bure japo hatujisajili,na ingekuwa kusajili kuna gharama basi bado tungelalamika hali ni ngumu na lawama tele kwa bashite
~Watz tumezoea kwenda kwa shurti...how come kusajili laini kungekuwa sio lazima bali ni amri,wote hao wangeshasajili
~waliojazana kwenye foleni ndio hao hao waliokuwa wanadhania hawana muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho ndio siku ya mwisho ya kusajili simu kwa njia ya alama za vidole kwa mujibu wa agizo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Magufuli.
Nini kitafuatia?
Stay tuned!
Hawa airtel ndio hovyo kabisa. Wananiambia ati line yangu niyazamani hivyo inasumbua usajili. Wanadhani ni wao tu wenye mawasiliano. Nimetupa kule line yao.ukienda airtel wanakwambia netwok ipo down njoo kesho... ukifika kesho wanakwambia ipo pending njoo kesho
aliyetoa siku 20 haja calculate haya ya njoo kesho sijui mtandao uansumbua. dah mashaka haya mpaka lini sijui
Huyo Rais wako alitoa wapi mamlaka ya kuongeza siku za kusajili laini za simu?Mimi nashangaa watu kila kitu rais magufuli,lakini pia tambua kuwa usajili huu ni muhimu sana,wewe nenda kasajili laini yako ,rais aliongeza 20 days,kulia lia huku mitandaoni won't help any more,hutaki achakusajili,but serikali haita sitisha wala kuongeza muda,full stop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani yangu na imekubari akatoa buku kuliko tabu ya kwenda NIDABongo naijua mwenyewe
~kusajili laini ni bure japo hatujisajili,na ingekuwa kusajili kuna gharama basi bado tungelalamika hali ni ngumu na lawama tele kwa bashite
~Watz tumezoea kwenda kwa shurti...how come kusajili laini kungekuwa sio lazima bali ni amri,wote hao wangeshasajili
~waliojazana kwenye foleni ndio hao hao waliokuwa wanadhania hawana muda
Sent using Jamii Forums mobile app
wamejazana kwenye foleni kwa sababu hawakupata namba za NIDA uelewe logic, acha kukurupuka Kama malaya wa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekwambia bure nan?njoo mbeya mjini uone mawakala walivojiongeza,kukamilisha usajili tsh1000 na kusajili line mpya 1000,
Jana nmemsajiliaJirani yangu na imekubari akatoa buku kuliko tabu ya kwenda NIDA
Sent using Jamii Forums mobile app