Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Hata mimi naamnini hivyo. Sioni aerikali inawezaje kukubali hasara kubwa ya kodi namna hiyo kwa suala ambalo linaweza kusubiri na likakaa vizuri hatimaye.
 
Kwa hili mkuu nakubishia





Hajaacha kuniwekea mafuta ya taa kwenye ubwabwa
 
Unafikiri NIDA wanatoa vitambulisho kama unagawa karanga?
Sawa Wakati wao NIDA Walipo tutangazia zoezi la kwenda kusajiliwa Vitambulisho kwenye Mkoa wetu, Wao hawakujua hivyo Vitambulisho havitolewi kama Karanga?!
 
Yote hio ni homa ya uchaguzi kuhofia chadema,aliyodhikiri ife anaumia sana kuiona iko imara
 
Hili jambo lina ukakasi kila siku asilimia kubwa kubwa ya watu wanadaiwa na mitandao ya simu wamekopa ni hasara za kiasi gani makampuni hayo yatapata hasara kubwa sana
 
Wakati Naibu Waziri wa Mawasiliano akisema serikali itatumia busara kuhusu usajili wa laini za vidole, ni busara dhidi ya nani au nini?

Ina maaana hili suala ni la kisheria hadi watumie busara? Nani alitoa tamko la usajili wa laini kwa njia ya vidole ili hali akijua uwezo wa NIDA?

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naomba kuulizia hao wanaotimiza Leo miaka 18 kisheria na kesho wanatakiwa wawe na simu wanafanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…