jina la mkoa ulioanza nao linaweza kutuletea jamboWananchi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, Mwanza, Shinyanga na Dsm wamemuomba Rais Magufuli awaongezee muda wa kusajili line za simu kwa njia ya vidole.
Wananchi hao wamedai kwa kiasi kikubwa NIDA ndio kikwazo cha wao kuchelewa kwani wengine wanafuatilia vitambulisho kuanzia mwezi June mwaka jana.
Source ITV habari!
My take; Serikali ya awamu ya 5 ni sikivu!
Sikiliza hiiWananchi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, Mwanza, Shinyanga na Dsm wamemuomba Rais Magufuli awaongezee muda wa kusajili line za simu kwa njia ya vidole.
Wananchi hao wamedai kwa kiasi kikubwa NIDA ndio kikwazo cha wao kuchelewa kwani wengine wanafuatilia vitambulisho kuanzia mwezi June mwaka jana.
Source ITV habari!
My take; Serikali ya awamu ya 5 ni sikivu!
Nashangaaaaa,Mtu anafananishaa king'amuzi na line ya simu[emoji119]Mkuu unaongelea Vitu viwili tofauti, Kingamuzi kilikua hakina Maana, Tofauti na Laini Ya Simu
Huu Ujinga uwa Mnanunua Duka gani? Kwa kua Wewe umeshapata Namba unaona sawa tu watu Kuzimiwa?
Roho mbaya tu.Naomba kujua, ni faida zipi zitakazopatikana kwa kufungia laini za watanzania milioni ishirini kwa sababu zisizo na mashiko?
Kuna watu wanaishi kwa miamala ya simu.
Kuna watu wanaishi kwa kutumia internet.
Miamala ya benki na biashara yote inahitaji simu!
Kadi za NIDA hakuna. Na simu zinazimwa!
Vitambulisho vya kura na leseni hawataki. Wanataka NIDA. Bila NIDA hakuna kusajili.
Hakuna guarantee kwamba NIDA watatoa namba upesi baada ya laini kufungwa.
Kwahiyo watu wataishi bila mawasiliano kwa muda usiojulikana mpaka pale NIDA watakapojisikia kutoa kadi na namba!
Haya yote yanafanywa kwa ajili ya nani? Kuna motive gani nyuma ya huu uovu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa........ JK kasajili juzi line yake ya tigo!
Kwani ofisi za Tigo makumbusho wanasajili line za mitandao mingine like Voda na Airtel, Ttcl nk!Una uhakika kuwa kajisajili kwa Tigo?
Wakuu, Wakati Naongea Na Ndugu Yangu Mmoja Leo Akanambia Ameafanikiwa Kumaliza Process Za Uandikishaji Wakamuambia Asubiri Baada Ya Wiki Mbili Kupata Namba Za NIDA Lakini Wakati Anaweka Doubt Yake Kuwa Leo Line Yake Itazimwa Wakamuambia Nunua Ya TTCL Izo Zitaendelea Kupewa Huduma...
Wakuu Kuna Ukweli Hapa?
Seems hujaelewa swali hiviKwani kabla ya usajili huu wa National ID, Lain za TTCL zilikuwa zinatumika bila kusajiliwa? Au leo ukienda kununua hiyo lain ya TTCL unaweza kuitumia bila kuisajili?