NimekupataROBERTO 20 nimeelewa sana tu ila najaribu kumpa nadharia mtoa mada ili ajiongeze na zake akiambiwa jambo!
Kweli kabisa. Mwaka juzi niliwafata wakanambia kitambulisho kimetoka lakini hakioni, sijawahi wafuata mpaka leo, natumia namba tu. Nasubiri upepo wa line za simu upite, nikifuatilie mpaka nikipate.Mm changu nilipata bila usumbugu mwaka juzi watanzania ni watu wa kupuuza jambo mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukibahatika kukipata usidhani wote wamepata,kuwa Na akiba ya manenoVitambulisho vya nida vimeanza kutolewa miaka mingi tu
Mm changu nilipata bila usumbugu mwaka juzi watanzania ni watu wa kupuuza jambo mno
Ndio mana tunawakejeli zaidi wanaohangaika sasa hivi
Waliambiwa wakabeza sana wacha mpambane na hali zenu .anyway ukiwaonea huruma ww inatosha na je nikiwaonea huruma ndio nitawasaidia nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
TUlisajili kwa kutymia cha mpiga kura enzi hizoKwani kabla ya usajili huu wa National ID, Lain za TTCL zilikuwa zinatumika bila kusajiliwa? Au leo ukienda kununua hiyo lain ya TTCL unaweza kuitumia bila kuisajili?
Uamuzi huu hata bunge limeathirika ona wabunge na viongozi wa bunge wanavyo hangaika kupiga clips na kuzirusha mitandaoni, watu wsmeshasahau bunge kabisaaa...Hata bunge live ilikua kama utani lakini maisha yanaendelea.
Ukiwa hauna cha kupoteza ni rahisi sana kuzungumza. Wala hatujari
Sent using Jamii Forums mobile app