Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Wamepitiwa na usingizi. Ngoja tusubiri asubuhi wakiamka huenda wakakumbuka kuzima line
Ni saa 09:00 sasa, ninavyojua mimi TCRA hawana uwezo wa kuzima line zote at once zoezi la kuzima laweza kuchukua zaidi ya mwezi, uwezo wetu kiteknolojia ni mdogo sana,
Na kuna uwezekano wakaanza kuzia hata line ambazo zimesajiliwa kwa alama za vodole

 
Tatizo sio uzembe wa raia, shida ni nida hawajajipanga vizuri kuwahudumia watz,
Vituo vyao ni vichache na huduma zao ni taratibu mno! Kiasi ukianza kufuatilia uache kila kitu!

Hii ni shida sana wakati kuna njia nyingi tu za kurahisisha hili zoezi.

Kimfano mtu mwenye leseni ya kuendeshea, kadi ya mpiga kura ama pasport. Huyu tayari alishafanya fingerprint.

Angewezeshwa kuatach doc zake angewekewa nafasi ya kujaza maelezo ya ziada wanayoyataka online kisha akapewa namba ya nida hapo hapo online.

Shida mamlaka zetu zimejaa rushwa kiasi unakuta mnyarwanda ana kadi ya mpiga kura ya tz! Nk. Nk.

Namwomba mh. Raisi wa wanyonge,
Kama itakupendeza mh. Watumbue wote waliokupotosha na kutusababishia sisi wanyonge usumbufu mkubwa na hasara!

Mf. Mh mimi jana usiku imebidi nitoe vijisenti vyangu kwenye line na nimekatwa!
Sent using Redmi Y2
 
Mkuu kaa ule bata Mkurugenzi wao ameshasema kwamba watakuwa wana edit line moja moja, na pia wanakuachia uwezo wa kutuma na kupokea sms, usitie shaka.
 
Mkuu Mshana, kumbukumbu zangu zinanionesha kwamba serikali hii haijawahi anzisha jambo likaenda smoothy kwa sababu hawana Plan bali ni kukurupuka, yote uliyoyasema hapo juu hawana majibu yake na ni bora wewe ndie ungekuwa rais, kama serikali inaongozwa na watu ambao tuaambiwa wengine sijui vichaa mara wengine wanakiri wameokotwa toka jalalani, na pia

 
Liwagu,
Wajinga tu hao na mikwara yao. Mimi sijasajili na niko kwa hewa mpaka sasa.
 
Sina hakika hiyo miaka mingi usemayo kama ilikuwa ni kwa nchi zima. Zoezi lilifanyika kwa mikoa baadhi huo ndo ukweli tena michache. Siasa wakati mwengine zisihusike kwenye issue serious. Nima Imma,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
henrykilenga,
Acha kiudanganya,watu tumejiandikisha 2018 mwezi wa tatu kwa kupanga foleniu ndefu,na hadi leo tumeambulia kudownload vitambulisho online,huo mwaka unaosemea wewe tayari zoezi liliazna Dar es salaaam na watu hawakupata.
Na kumbuka ndani ya hiyo miuaka miwili,umri wa miaka 18 umeongezeka,ina maana na wao wana lalamika,acha kutetea NIDA,mamlaka imekwama na ndio inakwamisha watanzania na ndio maana wanatimuliwa kazi na mwingine jana kakamatwa.
 
Ilikuwa ni janja ya kuwasukuma watu wapate vitambulisho vya uraia?
Maana naona laini za simu ambazo hazijasajiliwa bado zipo hewani.
Au deadline bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…