Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Nchi zetu za kiafrika ndo maana haziendelei,viongozi ni wasanii sana,wanafanya mambo yao kisanii....oooooh tunazima laini..kumbe ubavu hawana😂😂😂🤣🤣🤣🤣

Na laini yangu inatamba tu
 
Wajameni wacheni kushinda(kujihangila) Jf pekee, jaribuni na kusikiliza vyanzo vingine vya habari.

Je Mr Kilaba wa Tcra, kasema nini sa2 za usiku?

Hiyo ni home work nimekupa kafanye!

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ni mwalimu wa shule gani utoe hiyo "homework" ?
Kama unayo habari tofauti weka hapa watu waisome. Usicheze na muda na nafasi.
 
[emoji15][emoji848][emoji23]
Nchi zetu za kiafrika ndo maana haziendelei,viongozi ni wasanii sana,wanafanya mambo yao kisanii....oooooh tunazima laini..kumbe ubavu hawana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na laini yangu inatamba tu

Jr[emoji769]
 
Tayari huku
IMG_20200121_055510_995.jpg
 
Imebakia robo saa kutimia saa sita kamili ya tarehe 20. January. 2020.. Muda ambao ni kikomo cha mwisho kwa wasiosajiliwa kwa alama za vidole wafanye hivyo la sivyo kuanzia saa sita na dakika moja laini zote ambazo hazijafanya USAJILI WA vidole zitazimwa... Ina maana baada ya hapo laini kwenye simu husika haitafanya kazi tena...

Huu ni mtego wa hatari mno kwa serikali kama haijajipanga vema na tayari kuna baadhi ya wananchi wameshaanza kubeza hiyo hatua kama hili zoezi la kuzima lisipofanyika ama lisipofanikiwa

Kuna machache kwenye mengi ya kujadili hapa...
1. Je serikali imeshafanya upembuzi yakinifu kwenye hili, hasara na faida zake? Je hasara ni zipi na faida ni zipi?

2. Je muda huu mamlaka ya mawasiliano wako kazini wakisubiri dakika zilizobakia waminye kitufe cha kuzima laini? Je mamlaka ina uwezo na zana zenye nguvu za kuweza kuzima laini zaidi ya milioni 20 ambazo bado hazijapata usajili?

3. Je hili haliwezi kuchukuliwa kama uhujumu uchumi kutokana na serikali kukosa mapato makubwa ndani ya saa 24 zijazo? Kuanzia miamala ya pesa, manunuzi ya muda wa maongezi, vifurushi vya data nknk?

4. Je serikali haiwezi kushitakiwa kwa uzembe na usumbufu? kwakuwa kama wangetuma watu wao kwenye vituo vya usajili wangeona wananchi wanavyopatishwa tabu kwenye kupata vitambulisho vya taifa kwa ajili ya kupata usajili wa simcard?

5. Dhihaka ni jambo baya sana kwenye mambo muhimu ya KITAIFA.. Lakini mkuu wa mkoa wa DSM katoa dhihaka kwa wale watakaozimiwa simu zao usiku huu kama ni watu waliokuwa na michepuko... Je ana ushahidi na ithibati kwenye hili? Nini maana ya kuwa kiongozi?

Tayari ni saa sita na dakika tatu siku ya tar 21 January 2020... Nadhani muda huu tayari zoezi la kuzima limeshaanza... Likifanikiwa hili kuna madhara mengi yatatokea usiku huu.. Kuna dharura hazitafanyiwa kazi.. Kuna vifo vitatokea kwa kukosa mawasiliano... Kuna watu watakwama kusafiri, kutuma pesa ya dawa, chakula nk kwa kukosa kufanya miamala nknk...

Kuna nafasi bado ya kutafakari kwenye hili... Lakini je serikali iko tayari kujishusha na kukiri wazi kuwa haikutafari vema kwenye hili? Muda utasema kukipambazuka.. Lakini tayari kejeli zimeshaanza
View attachment 1329002

Jr[emoji769]
Wa kukuzimia line ni mtandao wa simu na siyo TCRA. Tena siyo kuzima, Ila ni kukufungia kutumia huduma zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCRA ni kama mgambo Wa jiji Jana nimekutana na mgambo Wa jiji kanikuta nimeshika kuku pale kisutu sokoni akaniuliza shekhe Leo krismasi nikamjibu shekhe na krismas wapi na wapi? TCRA hawana hiyo teknology ya kuzima simu wameumbuka na kwa hili wametoa siri ya serikali haina access ya kuingia kwenye makampuni haya ya simu
 
Back
Top Bottom