Kuelekea london olympic - ushiriki/ushidani wetu ukoje

Kuelekea london olympic - ushiriki/ushidani wetu ukoje

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,440
Wafuatiliaji a wadau wa michezo
  • Ushiriki wetu au ushidnani wetu kwenye hii michezo ukoje?
  • Tuna ttarhet ya medali ngapi?
  • Michezo gani tutashirki/ tutashindana . Kwa ninisio pungufu au zaidi ya idai
  • Wanamichezo gani (majina yao) wataotuwakilisha na rekodi zao zinawaweka kwenye nafasi gani wenye medali
  • Wizara na tasisi zinashughulika na ichezo kweli zimepaga na zimetjitayarisha usnidana au kushiriki?
  • bajeti kiasi gani imeandaliwa na inatagem kutumika na k je kuna wadhamini wowote.

Karibuni tujadili
 
Kwa kuwa sisis Tanzania ni watu wa zima moto na washiriki si washindani bado tuko kimya.
 
Msafara wa mamba kenge pia wamo.
Si mpaka sasa hatusikii chochote lakini kwa hiyo siis tumejiandaa kuwa washiriki nasi washindani . Ni aibu sana. Wenztu kenya
  • michezo ni ajira.
  • Michezo kama riadha inaiggiza mamilioni ya $$$$$$. na unia kipato ca watu hata wasio wasomi
  • Michezo ni nyenzo ya uitangza nchi kimatafifa na utalii.
Inaonekana sisi michezo ni siasa. Mafanikio ya olympic ni bungeni. .....


Atakayepata data tutawakilishwa na wanimichzo gani , wamejitayrshaje. walishindanishwa lini mpaka kuchaguliwa atumwagie data hapa
 
Wakuu ni wanamichezo au michezo gani wameshinda kwenda kushiriki?
 
Mtazamaji Labda kwenye bunge hili ndio tutajua wanaokwenda kushiriki upande wa Tanzania. Michezo ya tanzaniani siasa
 
nimeona kwenye habari za kenya leo, kamati ya kuitangaza Kenya kwenye olimpiki imechangiwa pesa!! sisi bado tumelala na hawa walivyo watasema Mt. Kilimanjaro inaonekana vizuri ukiwa kenya!!!!!
 
Back
Top Bottom