mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Commoros ni visiwa vilivyojirani sana na nchi yetu lakini kwa miaka mingi walionekana mpira sio fani yao kabisa. Ambapo vilabu vyao kufungwa 8,7,6,5 na simba,Yanga hata na Mtibwa nilikuwa jambo la kawaida.
Timu yao ya taifa ilikosa hata friendly match kutokana na ubovu wao. Ila leo wanahitaji point moja tu kwenye mechi mbili na hiyo endapo Kenya itashinda mechi zote mbili ikiwemo Kenya kuifunga misri.
Kiufupi nchi iliokuwa haipewi hata mwaliko wa mapinduzi cup imefuzu afcon mapema sana.
Nini wao wanafanikiwa sisi tunakishindwa?
Pia hata kesi ya Gambia
Timu yao ya taifa ilikosa hata friendly match kutokana na ubovu wao. Ila leo wanahitaji point moja tu kwenye mechi mbili na hiyo endapo Kenya itashinda mechi zote mbili ikiwemo Kenya kuifunga misri.
Kiufupi nchi iliokuwa haipewi hata mwaliko wa mapinduzi cup imefuzu afcon mapema sana.
Nini wao wanafanikiwa sisi tunakishindwa?
Pia hata kesi ya Gambia