Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Una maoni gani kuhusu utabiri wanguKm kwa mbeya kwanza Refa aliinuka kidedea, huku hamna mbeleko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maoni gani kuhusu utabiri wanguKm kwa mbeya kwanza Refa aliinuka kidedea, huku hamna mbeleko.
Huu ndio ulikuwa utabiri wanguSimba atatoka kifua mbele 3-1
Duh brother wee noma.Huu ndio ulikuwa utabiri wangu
Wewe ndio Gent... Popomaaa🚶🚶Endeleeni Kunidharau, Kunipuuza na Kutoniamini ila Mimi ndiyo Mightier ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person Ndugu.
Acha ujinga wewe! Kama huna kumbukumbu tulia uelimishwe.Ngajapo,
Simba haijawahi kuifunga Asec Mimosas. Na kama unavyosema ni kweli kwamba eti Simba ilishinda hapa 1-0 na ikapoteza marudiano Abidjan 4-3 Simba si wangekua wamesonga mbele kwa faida ya goli la ugenini?
Maana ingekua wamepata magoli matatu ugenini!!!!