Ngajapo,
Simba haijawahi kuifunga Asec Mimosas. Na kama unavyosema ni kweli kwamba eti Simba ilishinda hapa 1-0 na ikapoteza marudiano Abidjan 4-3 Simba si wangekua wamesonga mbele kwa faida ya goli la ugenini?
Maana ingekua wamepata magoli matatu ugenini!!!!