Kuelekea mechi ya Club Africain, Kocha Nabi aweweseka

Ni uhakika sasa Yanga you nakunyima usingizi! Hata ndotoni unaiota ili ifungwe
Ifungwe tu kuanzia khamsa kama mwaka 2012 au ifungiwe maisha maana mashibiki wake wengi ni manyani mambwa mnabweka bweka hovyo
 
Ifungwe tu kuanzia khamsa kama mwaka 2012 au ifungiwe maisha maana mashibiki wake wengi ni manyani mambwa mnabweka bweka hovyo
Huo ni uwendawazimu
 
Ifungwe tu kuanzia khamsa kama mwaka 2012 au ifungiwe maisha maana mashibiki wake wengi ni manyani mambwa mnabweka bweka hovyo
Haya sasa mbumbumbu jingine hili huku
 
Waarabu huwa wanauzalendo sana kwa Timu za Kwao.

Nabi lazima aichomeshe Yanga na kuwa mzalendo kwa timu toka Nyumbani kwao
 
Wakati wanashinda mechi na zalan mlikaa kimyaa na hamkutoa lawama zozote na kesho pia mkae kimya hata mkifungwa maana nyinyi ni malalamishi fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…