Huko mpira wanajua huku Kila timu inaweka nguvu nyumbaniHabari zenu Wakuu
Kuelekea Mechi Ya Jumamosi Kati Ya simba na AC vita club ya Congo embu Cheki Hizi rekodi za UEFA
.PSG kapigwa Kwao
.Real Madridi Kapigwa kwao
.Baryen Munich Kapigwa Kwao
Na Simba? Atapigwa Kwao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nae anda dogi atapigwa kwaoHabari zenu Wakuu
Kuelekea Mechi Ya Jumamosi Kati Ya simba na AC vita club ya Congo embu Cheki Hizi rekodi za UEFA
.PSG kapigwa Kwao
.Real Madridi Kapigwa kwao
.Baryen Munich Kapigwa Kwao
Na Simba? Atapigwa Kwao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia walishajifia zamaani bado mazishi tuHabari zenu Wakuu
Kuelekea Mechi Ya Jumamosi Kati Ya simba na AC vita club ya Congo embu Cheki Hizi rekodi za UEFA
.PSG kapigwa Kwao
.Real Madridi Kapigwa kwao
.Baryen Munich Kapigwa Kwao
Na Simba? Atapigwa Kwao?
Sent using Jamii Forums mobile app
soka La Africa lipo tofauti kabisa na la Ulaya usikariri...Sisi pia tulijipa matumaini kama hayo wakati tunaenda kucheza nyumbani kwa JS Saoura ila kiukweli kwa nature ya soka la Kiafrica ni ngumu sana kwa timu kushinda ugenini...matokeo chanya kwa Vita ni sare na sio ushindi coz hawezi na hatoweza kamwe!!
Vaa ya Yanga inatosha,ndani vaa ya Simba ili game ikiisha unavua ya juu unatoa tabasamu LA kinafiki huyooo unatambaa zako kwako