Kuelekea Mechi Ya Jumamosi

Kuelekea Mechi Ya Jumamosi

soka La Africa lipo tofauti kabisa na la Ulaya usikariri...Sisi pia tulijipa matumaini kama hayo wakati tunaenda kucheza nyumbani kwa JS Saoura ila kiukweli kwa nature ya soka la Kiafrica ni ngumu sana kwa timu kushinda ugenini...matokeo chanya kwa Vita ni sare na sio ushindi coz hawezi na hatoweza kamwe!!
 
soka La Africa lipo tofauti kabisa na la Ulaya usikariri...Sisi pia tulijipa matumaini kama hayo wakati tunaenda kucheza nyumbani kwa JS Saoura ila kiukweli kwa nature ya soka la Kiafrica ni ngumu sana kwa timu kushinda ugenini...matokeo chanya kwa Vita ni sare na sio ushindi coz hawezi na hatoweza kamwe!!
FB_IMG_1552563236958.jpg
 
Kwani Simba yuko Uefa?..
Juve kashinda home
Arsenal kashinda home
Barca kashinda home
Kweli nyie NYUMA MWIKO
 
Back
Top Bottom