Kiukweli tumekaa kimya muda mrefu na kusubiria sana pasipo ongea ukweli. Ukweli ni kwamba Mwinyi Zahera hawezi kufundisha mpira wa miguu. Baada ya mechi ya Leo Zahera anapaswa kufukuzwa.
Tumieni historia kutinga makundiGanzi ya nini kwenye facts?
Ni mabingwa wa nchi wa kihistoria 27 times!
Kila nchi ina bingwa wake wa kihistoria. Al Ahly ni bingwa wa kihistoria wa CAF!
HazifutikiTumieni historia kutinga makundi
Sijasema zinafutika, ila hazisaidii lolote kufuta uchungu wa sasa wa matokeo ya Yanga katika Ligi ya Bara na katika Kombe la Shirikisho Afrika. Sijaona historia ya kizazi kile inasaidiaje wananchi wa kizazi hiki kumvumilia Zahera kuendelea kuwa kocha wa YangaHazifutiki
Uchungu upi nafuu? Wa round ya kwanza au huu?Sijasema zinafutika, ila hazisaidii lolote kufuta uchungu wa sasa wa matokeo ya Yanga katika Ligi ya Bara na katika Kombe la Shirikisho Afrika. Sijaona historia ya kizazi kile inasaidiaje wananchi wa kizazi hiki kumvumilia Zahera kuendelea kuwa kocha wa Yanga
Sijajua hii anayozongwa Zahera ni raundi ya ngapi. Hivi vitu havihitaji hasira πππ. Unapigwa na mwarabu nje ndani halafu Ruvu Shooting anakusubiri Bara! Mbaya zaidi hatua hii na ile zote hazina zawadi ya hela za CAF, sana sana michango ya wananchi imepotea bure kwenye nauliUchungu upi nafuu? Wa round ya kwanza au huu?
Hela sio shida tena. Nyie endeleeni kumtemegea Mo 100%.Sijajua hii anayozongwa Zahera ni raundi ya ngapi. Hivi vitu havihitaji hasira πππ. Unapigwa na mwarabu nje ndani halafu Ruvu Shooting anakusubiri Bara! Mbaya zaidi hatua hii na ile zote hazina zawadi ya hela za CAF, sana sana michango ya wananchi imepotea bure kwenye nauli