Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tumebaki kuimba music[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi wakongo wameshaondoka ama bado wapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumebaki kuimba music[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hivi wakongo wameshaondoka ama bado wapo?
Watanzania sio wajinga, iLa wewe ni mjinga tena kilaza grade AImani nyingine hizi ni kumjaribu Mungu na matumizi mabovu ya akili.
Kama Simba huwa haifungwi uwanja wa Taifa basi wangekuwa ndio mabingwa wa Sport pesa mwaka huu, msidhani Watanzania ni wajinga au wamesahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoo mtani!Bana Congo tuliamua kuwawakea baridi kwahivyo walipoa na wakatepeta kama mate ya mlevi..Kila mmoja tuna Style yake ya kumtomasa..[emoji23][emoji23][emoji23]
Vyura mmetulia leo kama mko kwenye foleni ya kupima Tezi Dume...!
Hivi wameondoka BanaCongo ama bado... This Is Simba SC Bro.
mikia fc.Unaroho ngumu..Chura [emoji196]umezamishwa kwenye Dimbwi Iringa na Dar lakini bado unanyosha mkono..!Kosa lako ni Kiherehere[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmekumiss hnyBaby tumeshindaaa
Happiness is a lifestyle