Kuelekea Mechi ya Simba SC dhidi ya AS Vita Club, hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika 'Hatoki Mtu'

Imani nyingine hizi ni kumjaribu Mungu na matumizi mabovu ya akili.

Kama Simba huwa haifungwi uwanja wa Taifa basi wangekuwa ndio mabingwa wa Sport pesa mwaka huu, msidhani Watanzania ni wajinga au wamesahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania sio wajinga, iLa wewe ni mjinga tena kilaza grade A

Happiness is a lifestyle
 
Shikamoo mtani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…