Kuelekea mechi ya 'VPL' Kagera Sugar dhidi ya Simba SC, Wamezoea Lakini Leo Tunao!

Kagera sugar tundu limejileta hilo
 
Kikosi tayari kipo uwanjani kupasha misuli kabla ya mchezo..SimbaNguvuMoja
 
Dakika chache kabla ya kuanza mtanange huu, hatumwi mtoto dukani..!

Kagera Sugar Vs Simba SC
 
00' Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umeanza Uwanja wa Kaitaba Stadium

Kagera Sugar 0-0 Simba SC
 
10' mchezo wa VPL, ambapo timu zinashambuliana kwa zamu, huku Kagera akijaribu kuvuka mstari wa kati
 
12' Anakwenda pembeni mwa uwanja kwake Ajibuuuuuuu Ooooooiiii

Ajibu anapiga mpira hafifi na golikipa anaudaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…