Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagera sugar tundu limejileta hiloKuelekea patashika ya ligi kuu Tanzania, Vodacom Premier League (VPL), nyasi za Uwanja wa Kaitaba Stadium, mkoani Kagera kuwaka moto ambapo leo September 26, 2019 Kagera Sugar, Wana Nkurukumbi, wanawakabili vilivyo Mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama Mkali Mwituni, kutoka jijini Dar es salaam.
Mchezo huu kati ya Kagera Sugar na Simba SC, una vuta hisia za wapenda kandanda kote nchini, hivyo basi unatarajiwa kuwa mkali na wenye kusisimua kwa muda wote wa dakika tisini, kutokana na rekodi za timu hizi mbili hivi karibuni zinapokutana.
Kocha Patrick Aussems, amesema safari hii hawachomokei na amedhamiria kuondoka na alama tatu muhimu, huku akiongeza kuwa;
"Yaliyotokea msimu uliopita ni hamasa kwa wachezaji kufanya vizuri kuelekea mchezo huu, na nimeshawaambia kwamba lazima tuwaonyeshe kuwa sisi ni Simba SC". alisema Kocha Aussems.
•••Usikose Ukaambiwa, kuhusu burudani ya kandanda itakayovurumishwa kwenye dimba la Kaitaba Stadium. Kumbuka kipute hiki ni kuanzia saa 10:00 jioni.
•••Wamezoea Lakini Leo Hii TunaoView attachment 1216340View attachment 1216341
Haya ndio maneno yenu ya kila siku kabla ya mechi. Baada ya mechi...YEYU, hamuonekani.Leo sio jana waambie hao thisi is simba Nguvu moja
Teh teh tehMkuu Frank Wanjiru hayo maneno yako yatafikia mwisho wiki hii..Nafasi za wenyewe aisee![emoji23]
Kikosi cha maangamizi hikiKikosi cha Simba SC kinachoanza leo dhidi ya Kagera Sugar...NguvuMojaView attachment 1216492
Subirini sasa wake wa zesco mwana kulitaka mwana kulipewa molingaHaya ndio maneno yenu ya kila siku kabla ya mechi. Baada ya mechi...YEYU, hamuonekani.
Hizo ni jezi .ndani ya uwanja hakuna nyekunduView attachment 1216501Asilimia 99% Nyekundu tu nje ya Uwanja wa Kaitaba Stadium...This Is Big Brand..SimbaNguvuMojaView attachment 1216486
Mwana kulilia Mwana kupewa Club Athletic Du Kagera SugarSubirini sasa wake wa zesco mwana kulitaka mwana kulipewa molinga
Yule kuku huwezi amini kesho yake tu alichinjwaNa siku ile ya UD Songo alidonoa maindi mangapi,au hakuwepo?