Naaaaaaaaaaaaaaam mpira umekwisha uwanja wa Kaitaba Stadium ambapo Simba SC wakiibuka kidedea kwa ushindi wa mabao matatu bila majibu, yakiwekwa kimiani na Maddie Kagere mawili dakika ya 4' 79' na Tshabalala 35'
Mwaka juzi kagera sugar, mwaka jana kagera shuga ala! Watoto wadogo mtusumbue kila uchao. Safari hii mmekula za uso mkalale huko! Hadi ndizi leo zitawashinda kula. Nyaambaf!!