Blank page JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 5,487 Reaction score 4,817 Nov 7, 2020 #41 Mkuu leo mnapigwa na Yanga vibaya mnooo
Ghazwat JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 23,718 Reaction score 66,267 Nov 7, 2020 Thread starter #42 Blank page said: Mkuu leo mnapigwa na Yanga vibaya mnooo Click to expand... Timu hamna mule ukongwe tu ndo unawasaidia..wanafunga wasiojua
Blank page said: Mkuu leo mnapigwa na Yanga vibaya mnooo Click to expand... Timu hamna mule ukongwe tu ndo unawasaidia..wanafunga wasiojua
K kasimba123 JF-Expert Member Joined Apr 18, 2010 Posts 1,753 Reaction score 816 Nov 7, 2020 #43 mpango uliopo tunaanza na pira biriani ili kuua njaa ya mashabiki kipindi cha pili tunakuja na style ya kuwafanya uto wautafute mpira (pira VPN)
mpango uliopo tunaanza na pira biriani ili kuua njaa ya mashabiki kipindi cha pili tunakuja na style ya kuwafanya uto wautafute mpira (pira VPN)
Gwele JF-Expert Member Joined Jun 7, 2016 Posts 2,604 Reaction score 3,319 Nov 7, 2020 #44 Simba hii yenye fundi wa mpira Chama ifungwe na timu na pira magimbii? Nitashangaa hadi ......
koboG JF-Expert Member Joined Apr 3, 2016 Posts 2,763 Reaction score 5,167 Nov 7, 2020 #45 Gwele said: Simba hii yenye fundi wa mpira Chama ifungwe na timu na pira magimbii? Nitashangaa hadi ...... Click to expand... Chama kasha thibitisha kwenye IG yake Leo hato cheza ,ila Ajibu atatutoa kimaso maso wanasimba msiogope
Gwele said: Simba hii yenye fundi wa mpira Chama ifungwe na timu na pira magimbii? Nitashangaa hadi ...... Click to expand... Chama kasha thibitisha kwenye IG yake Leo hato cheza ,ila Ajibu atatutoa kimaso maso wanasimba msiogope