Mimi pia namkubali sana Kakolanya,jamaa yupo vizuri, sema kocha anamuelewa sana ManulaLeo tunataka kakolanya aanze maana ameonyesha kitu cha tofauti kwenye match za kirafiki imefika mda sasa aishi akae kando but simba ushindi leo lazima
Kakolanya yuko vizuri sana ila ngoja tusubir maamuzi ya kocha tuoneMimi pia namkubali sana Kakolanya,jamaa yupo vizuri, sema kocha anamuelewa sana Manula
Ebu chagua hapo unapenda namba gani kati ya hiziYangu macho na masikio Mtani maana si kila siku ni jumatatu. 😎😎
Duuh kama menina aisee, naona anatakaa mpiku SanchokaWatu mliosajili wengineView attachment 1241245
Mimi pia namkubali sana Kakolanya,jamaa yupo vizuri, sema kocha anamuelewa sana Manula
Leta ushahidiSimba haina kitu chochote wanashinda kwa kutembeza hongo tu. tatizo azam kumejaa wanazi wa simba, leo utashangaa wanajifungisha makusudi. SIKU ZOTE MECHI YA SIMBA NA AZAM MATOKEO YANAPANGWA ,
Kila laakheri Azam fc, piga hao goli 2 bila
Simba haina kitu chochote wanashinda kwa kutembeza hongo tu. tatizo azam kumejaa wanazi wa simba, leo utashangaa wanajifungisha makusudi. SIKU ZOTE MECHI YA SIMBA NA AZAM MATOKEO YANAPANGWA ,