Kila laakheri Azam fc, piga hao goli 2 bila
Nachagua 5imba ile ya vumbi la DR CongoEbu chagua hapo unapenda namba gani kati ya hizi
4, 5
ALISIKIKA MLEVI MMOJA ALIYELEWA UKWAJU....Azam piga hao Mikia fc
Hivi Mtani tano unaionaje kwani?Ebu chagua hapo unapenda namba gani kati ya hizi
4, 5
Mtani hivyo nyie mnajua Kandanda?Ni kweli kabisa lakini anayejua kandanda si kama asiyejua kandanda..SimbaNguvuMoja