Kuelekea Mechi Ya Yanga Na Simba, Jumamosi Tar 16/2/2018

Kuelekea Mechi Ya Yanga Na Simba, Jumamosi Tar 16/2/2018

advocate kiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2019
Posts
259
Reaction score
90
Wakuu Habari Zenu!

Jumamosi Hii Tanzania Itasimama Kushuhudia Mechi Kubwa Kuliko Mechi Yoyote Hapa Afrika Mashariki Na Kati, Kariakoo Darby

Yanga Watakuwa Mwenyeji Wa Mchezo Huu, Utakaofanyika Uwanja Wa Taifa,

Mchezo Wa Mwisho, Uliowakutanisha Timu Hizi Uliisha Kwa Sare Ya Bila Kufungana, Huku Kipa Beno Kakolanya Akifanya Kazi Ya Ziada Katika Mchezo Huo!!

Yanga Ambayo Imekuwa Ikipata Matokeo Yasioridhisha Sana, Itamvaa Simba Anayeshika Nafasi Ya Pili Katika Kundi D Klabu Bingwa Barani Afrika,

Yanga Watamtegemea Sana Ibrahim Ajib, Eriter Makambo, Mrisho Ngassa, Feisal Salum, Kamusoko Huku Okwi, Chama,kagere, Niyonzima Watategemewa Kwa Upande Wa Simba,

Upi Utabiri Wako?????
 
Simba itaibuka kuwa mshindi
Wakuu Habari Zenu!

Jumamosi Hii Tanzania Itasimama Kushuhudia Mechi Kubwa Kuliko Mechi Yoyote Hapa Afrika Mashariki Na Kati, Kariakoo Darby

Yanga Watakuwa Mwenyeji Wa Mchezo Huu, Utakaofanyika Uwanja Wa Taifa,

Mchezo Wa Mwisho, Uliowakutanisha Timu Hizi Uliisha Kwa Sare Ya Bila Kufungana, Huku Kipa Beno Kakolanya Akifanya Kazi Ya Ziada Katika Mchezo Huo!!

Yanga Ambayo Imekuwa Ikipata Matokeo Yasioridhisha Sana, Itamvaa Simba Anayeshika Nafasi Ya Pili Katika Kundi D Klabu Bingwa Barani Afrika,

Yanga Watamtegemea Sana Ibrahim Ajib, Eriter Makambo, Mrisho Ngassa, Feisal Salum, Kamusoko Huku Okwi, Chama,kagere, Niyonzima Watategemewa Kwa Upande Wa Simba,

Upi Utabiri Wako?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom