Kuelekea miaka 10 ya ACT Wazalendo, je kuna mpasuko Bara na Zanzibar?

Kuelekea miaka 10 ya ACT Wazalendo, je kuna mpasuko Bara na Zanzibar?

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
650
Reaction score
1,016
Jana ACT Wazalendo imezindua nembo Mpya ya Chama katika kusherekea miaka 10. Lakini Mwenyekiti wake Othman Masoud Othman alimaarudu OMO hakuwepo ukumbini, Jussa ambae ni Makamu Mwenyekiti upande za Zanzibar (mhafidhina) hakuwepo ukumbini.

Je, ACT Wazalendo Bara na Visiwani Kila mtu kaamua kuchukua njia yake?

Je, Hii ndio mwisho wa enzi wa siasa za ACT Wazalendo Bara ambako Zitto aliibeba kwa jasho na damu?

20240428_123906.jpg
 
Bora hata chadema,Kuna chama kama sio Muslimin huna chako.

Mkuu CHADEMA ni kanisa watupu, angalau hao ACT. Kuna nyadhifa gani kubwa ndani ya Chama ukiacha nafasi za zanzibar inayoshikwa na Muislamu? ACT wagalatia kibao unawakuta.
 
Mkuu CHADEMA ni kanisa watupu, angalau hao ACT. Kuna nyadhifa gani kubwa ndani ya Chama ukiacha nafasi za zanzibar inayoshikwa na Muislamu? ACT wagalatia kibao unawakuta.
Lete orodha ukiachana na kiongozi mkuu(naye huenda kasilimu),wengine wote utadhani ni baraza la idi.
 
Jana ACT Wazalendo imezindua nembo Mpya ya Chama katika kusherekea miaka 10. Lakini Mwenyekiti wake Othman Masoud Othman alimaarudu OMO hakuwepo ukumbini, Jussa ambae ni Makamu Mwenyekiti upande za Zanzibar (mhafidhina) hakuwepo ukumbini.

Je, ACT Wazalendo Bara na Visiwani Kila mtu kaamua kuchukua njia yake?

Je, Hii ndio mwisho wa enzi wa siasa za ACT Wazalendo Bara ambako Zitto aliibeba kwa jasho na damu?

View attachment 2975994
Chama kimejaa mashangazi
 
Back
Top Bottom