Kuelekea michuano ya Afcon 2019 uko Misri njooni tubashiri timu tutakazo kutana nazo

Kuelekea michuano ya Afcon 2019 uko Misri njooni tubashiri timu tutakazo kutana nazo

Leo saa tatu usiku kwa saa za Africa mashariki kule Misri kutakuwa na shughuli ya upangaji wa makundi kwa timu 24 ambazo zimefudhu kucheza michuano hii mikubwa kabisa kwa timu za taifa katika bara la Africa.

Vimewekwa vyungu vinne vikiwa na timu sita sita kila chungu na timu zimepangwa kulingana na viwango vya Fifa vya mwezi wa nne.

Pot 1.....Misri-Cameroun-Morocco-Nigeria-Senegal-Tunisia

Pot 2......Dr Congo-Ghana-Mali-Ivory cost-Guinea-Algeria

Pot 3......Uganda-Benin-Mauritania-Madagascar-Kenya-South Africa.

Pot 4......Zimbabwe-Namibia- Guinea Bissau-Angola-Tanzania-Burundi.

Rule of the game. Nikwamba timu kwenye chungu kimoja haziwezi pangwa pamoja kwahyo kila chungu kitatoa timu moja ambazo zitaungana pkutengeneza kundi. Karibuni tujitabilie kundi letu waungwana.
Wale wa TANO bila wallah lazima watukutanishe nao
 
Leo saa tatu usiku kwa saa za Africa mashariki kule Misri kutakuwa na shughuli ya upangaji wa makundi kwa timu 24 ambazo zimefudhu kucheza michuano hii mikubwa kabisa kwa timu za taifa katika bara la Africa.

Vimewekwa vyungu vinne vikiwa na timu sita sita kila chungu na timu zimepangwa kulingana na viwango vya Fifa vya mwezi wa nne.

Pot 1.....Misri-Cameroun-Morocco-Nigeria-Senegal-Tunisia

Pot 2......Dr Congo-Ghana-Mali-Ivory cost-Guinea-Algeria

Pot 3......Uganda-Benin-Mauritania-Madagascar-Kenya-South Africa.

Pot 4......Zimbabwe-Namibia- Guinea Bissau-Angola-Tanzania-Burundi.

Rule of the game. Nikwamba timu kwenye chungu kimoja haziwezi pangwa pamoja kwahyo kila chungu kitatoa timu moja ambazo zitaungana pkutengeneza kundi. Karibuni tujitabilie kundi letu waungwana.
Utabiri wangu
TUNISIA
GUINEA
BENIN
TANZANIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kundi C

Senegal
Mali
Mauritania
Tanzania

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
Aisee...

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Makundi hayo hapo, acheni ujinga. Mapoyoyo nyie
IMG-20190412-WA0066.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kundi C

Senegal
Mali
Mauritania
Tanzania

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
Timu mbili za kati zipo kundi moja na Timu mbili ( ya kwanza na ya mwisho) nazo kundi moja..

Kumbe na mimi nakuja kuja kwenye usheikh YAHYA...

Money loading.... Betting Afcon2019

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Back
Top Bottom