Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kufuatia gazeti la michezo la Mwanaspoti la leo Mei 6,2022 kuandika kuwa sare ya Simba SC dhidi ya Namungo FC na Azam FC kupoteza mchezo dhidi ya Kagera Sugar, Yanga SC yatanguliza kwenye michuano ya CAF.
Kwa kuwa kila timu inaposhiriki michuano yoyote, lazima wajiwekee malengo kwa kile ambacho wanakiamini kuwa wanaweza, baada ya kupata maandalizi ya kutosha.
Kwa kuwa Mwanaspoti wamesema hivyo mapema kabisa..Je katika malengo matano haya, Yanga safari hii malengo yenu kwenye michuano ya CAF ni kufika hatua gani?
1. Makundi.
2. Robo Fainali.
3. Nusu Fainali.
4. Fainali.
5. Kombe la CAF.
Wenu: Ghazwat, Ekuweme
Kwa kuwa kila timu inaposhiriki michuano yoyote, lazima wajiwekee malengo kwa kile ambacho wanakiamini kuwa wanaweza, baada ya kupata maandalizi ya kutosha.
Kwa kuwa Mwanaspoti wamesema hivyo mapema kabisa..Je katika malengo matano haya, Yanga safari hii malengo yenu kwenye michuano ya CAF ni kufika hatua gani?
1. Makundi.
2. Robo Fainali.
3. Nusu Fainali.
4. Fainali.
5. Kombe la CAF.
Wenu: Ghazwat, Ekuweme