Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Rejea Lowassa kuhamia CHADEMA, ilichukua mpaka viongozi wa dini!!Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka