Kuelekea Morocco 2025 AFCON FINALS, nashauri Kocha Mkuu na Watendaji wake Mahiri wawe wafuatao tu

Lini hio stars iliwaka? Kama kushiriki Afcon tu imeenda mwaka 2019 na mwaka huu? Tena chini ya wazungu?

Niny wazee mnatupangaga sanaaaaaa,
 
Mkuu hii si timu kabisa Tena imezidi idadi ya wachezaji[emoji3]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Lini hio stars iliwaka? Kama kushiriki Afcon tu imeenda mwaka 2019 na mwaka huu? Tena chini ya wazungu?

Niny wazee mnatupangaga sanaaaaaa,
Huna ulijualo we pimbi..unajua stars imebeba mara ngapi Chan,Cecafa na makombe mangapi chini ya hao wazawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…