Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
NAJUA ATAFUNGWA ILA IDADI YA MAGOLI BADO SIJAYAJUA.Ndugu yangu wa JF
Usipoteze muda na nguvu zako kunibishia au kunitukana bure kwani Habari hii Ni uhakika kutokea vyanzo vya uhakika
Ieleweke kuwa hapa hakuna uchawi wala ulozi
Kama una tatizo la Pressure usiende Uwanjani kabisa siku hiyo ili kuepusha maafa
Poleni sana ndugu zetu wa Msimbazi na kamwe msijaribu kupuuza andiko hili
Ni vema mkaweka kumbukumbu ya andiko hili kwa faida ya rejea baada ya Jumamosi ya Septemba 25
Aksanteni
Ndugu yangu wa JF
Usipoteze muda na nguvu zako kunibishia au kunitukana bure kwani Habari hii Ni uhakika kutokea vyanzo vya uhakika
Ieleweke kuwa hapa hakuna uchawi wala ulozi
Kama una tatizo la Pressure usiende Uwanjani kabisa siku hiyo ili kuepusha maafa
Poleni sana ndugu zetu wa Msimbazi na kamwe msijaribu kupuuza andiko hili
Ni vema mkaweka kumbukumbu ya andiko hili kwa faida ya rejea baada ya Jumamosi ya Septemba 25
Aksanteni
Mazombie yanaamini kila upuuzi unaotoka kwenye kinywa cha zeruzeruUngeleta hoja ni kwanini una mtazamo huo. Au mzungu pori atakuwa ndiye striker?
Au unapiga ramli. Unabahatisha bahatisha ili baadae ikiwa hvyo urudi hapa ukijiona konki kuwa ulitabiri.
Sasa fanya hvi odd ya utopolo kushinda ni zaidi ya 3.
Weka yanga win & 3+ ukiweka milioni utapata si chini ya mil 5 faida.[emoji1]
Utabiri wa hovyo na akili za hovyoNdugu yangu wa JF
Usipoteze muda na nguvu zako kunibishia au kunitukana au kunikashifu bure kwani habari hii ni ya ndani sana, ya uhakika, ya siri na imetoka kwenye vyanzo vya uhakika
Ieleweke kuwa hapa hakuna uchawi wala ulozi ila sayansi ndiyo inafanya kazi kikamilifu
Kama una tatizo la Pressure tafadhali usiende Uwanjani kabisa siku hiyo ili kuepusha maafa
Poleni sana ndugu zetu wa Msimbazi na kamwe msijaribu kupuuza andiko hili bali mjiandae kisaikolojia
Ni vema pia mkaweka kumbukumbu ya andiko hili kwa faida ya rejea yenu baada ya Jumamosi ya Septemba 25
Niwatakie mchana mwema
Aksanteni
Chagua wewe unataka ufungwe na Yanga ipi?Simba itafungwa na Yanga ipi,ya gsm au ya Dr.Msola?