zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Watu watakufa na Mo atasusa kuifadhiri Simba SC. Naomba iwe hivyo ili watu wakome kwa Dharau ,Tambo na Majigambo yao yasiyo na hoja zinazoelewekaNdugu yangu wa JF
Usipoteze muda na nguvu zako kunibishia au kunitukana au kunikashifu bure kwani habari hii ni ya ndani sana, ya uhakika, ya siri na imetoka kwenye vyanzo vya uhakika
Ieleweke kuwa hapa hakuna uchawi wala ulozi ila sayansi ndiyo inafanya kazi kikamilifu
Kama una tatizo la Pressure tafadhali usiende Uwanjani kabisa siku hiyo ili kuepusha maafa
Poleni sana ndugu zetu wa Msimbazi na kamwe msijaribu kupuuza andiko hili bali mjiandae kisaikolojia
Ni vema pia mkaweka kumbukumbu ya andiko hili kwa faida ya rejea yenu baada ya Jumamosi ya Septemba 25
Niwatakie mchana mwema
Aksanteni
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app