Kuelekea mpambano wa Watani wa Jadi, Simba atafungwa Goli 3-0

Watu watakufa na Mo atasusa kuifadhiri Simba SC. Naomba iwe hivyo ili watu wakome kwa Dharau ,Tambo na Majigambo yao yasiyo na hoja zinazoeleweka

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Kama una akili timamu uwezi kusema hayo.kwani Simba SC amefungwa na Yanga mara ngapi? Misimu yote iliyopita

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Yanga siku hizi wamekuwa wanasiasa. Mzee Mpili kawaharibu na kupiga ndagu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…