saidikobelo
Member
- Oct 28, 2018
- 75
- 25
Hapo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tambwe hayo magoli mengi kayafunga lini? Miaka miwili ya mwisho kafunga mangap, wachezaji hukua viwango na kufa Huwez kutumia kumbukumbu ya 2014 kuelezea ubora wa mchezaji 2019, mkuda na Feisal ni viungo na viungo wana roles zao uwanjani hawapimwi kwa magoli. Unasema watu wapinge kwa hoja wakat na ww hauna hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app