Kuelekea Mpambano wa Watani wa Jadi 'TPL' Simba SC dhidi ya Yanga SC, Tayari ameshafungwa

Kuelekea Mpambano wa Watani wa Jadi 'TPL' Simba SC dhidi ya Yanga SC, Tayari ameshafungwa

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yaani hawa makwasu kwasu umbea uwaishe wakushabikia timu zote zinachoza na simbaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Chura FC kwake matopeni pale Jangwani, sasa nashangaa wakija Warabu wao ndio wenyeji wao! Wakija Mwadui kucheza na Simba wanageuka watu wa Shinyanga, basi matokeo yakiwa hivi mji woote kiiimyaaa, wanatuliaaaa
 
Back
Top Bottom