Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Pole sana Shadeeya ndio soka ilivyo. Halafu hawa Tanesco hawa! Naona ndio wamesababisha mpaka mkapoteza mechi jana😛😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Shadeeya ndio soka ilivyo. Halafu hawa Tanesco hawa! Naona ndio wamesababisha mpaka mkapoteza mechi jana😛😂😂😂
Najua unaibuka dada lakini kukupa matokeo ni muhimu sana ujueHahaaa. Ulirudi usiku sana na leo upo. [emoji85][emoji85][emoji85]
Hahaaa. ungeyaacha si wajua Alfajir huwa naibuka.
Binafsi nimeshajiandaa kisaikolojia kuwa leo Yanga tunalambwa.Sina uhakika ni kipigo heavy aua simple ila hatuponi kabisaa
Tena wanamuonea kweli Shadeeya hasa katika zile mechi ambazo ama Yanga anapapaswa au Mnyama anamrarua mtuTanesco kila kukiwa na mechi wanakata