Kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani, Saudi Arabia imepiga marufuku matumizi ya vipaza sauti misikitini.

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Lengo la kupaza sauti lilikuwa ni nini mwanzo?
Lengo limetimia?
 
Lengo lilikuwa kuwataaribu watu muda wa kuswali. Sasa hivi kila mtu ana saa au simu vipaza sauti vya kazi gani. Halafu Quran imekataka kuswali kwa sauti lakini unakuta msikiti una maspika na wanaongoza ibada kwa sauti kubwa. Unajiuliza, kwani hawasomi Quran hawa.....
 
Wameanza kujitambua,bado waarabu wa kimatumbi watakuja kusema hizo ni chokochoko za usa na israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…