Kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani unaotarajia kuanza tarehe 22 mwezi huu, Saudi Arabia imepiga marufuku matumizi ya vipaza sauti na matangazo ya mahubiri misikitini.
As Ramadan is expected to begin on 22 March, the Minister of Islamic Affairs released a document Friday banning monetary donations for meals, photography, and children in mosques.
Lengo lilikuwa kuwataaribu watu muda wa kuswali. Sasa hivi kila mtu ana saa au simu vipaza sauti vya kazi gani. Halafu Quran imekataka kuswali kwa sauti lakini unakuta msikiti una maspika na wanaongoza ibada kwa sauti kubwa. Unajiuliza, kwani hawasomi Quran hawa.....